• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • M.M.M |
    • Barua pepe |
BUKOMBE DISTRICT COUNCIL
BUKOMBE DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bukombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Utawala na Utumishi
      • Idara ya Fedha na Biashara
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Maji
      • Idara ya Kilimo na Umwagiliaji
      • Idara ya Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Idara ya Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
      • Idara ya Ardhi na Maliasili
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi na Zimamoto
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Nyuki
      • Kitengo cha Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo cha TEHAMA
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Mifugo na Uvuvi
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu,Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba
      • Ratiba ya Kuonana na Mhe. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

historia ya bukombe

Halmashauri ya Wilaya ya Bukombe ni moja kati ya Halmashauri sita (06) zinazounda  Mkoa wa Geita. Ilianzishwa Julai mwaka 1995 kwa tangazo la serikali Na.205 la mwaka 1998 ambapo  Baraza la Halmashauri ya Wilaya liliundwa rasmi mwaka 2000 baada ya uchaguzi Mkuu wa Rais,Wabunge na Madiwani. Wilaya hii kwa sasa imegwanyika na kuwa wilaya mbili (Wilaya ya Bukombe na Mbogwe. Kwa sasa Mbogwe inajitegemea kama Halmashauri kamili. Wilaya ya Bukombe ina tarafa 3 ambazo ni Ushirombo,Siloka, na Bukombe, ina kata kumi na saba (17) ambazo ni Iyogelo,Busonzo,Bukombe,Butinzya,Bulega,Runzewe Mashariki,Runzewe Magharibi,Namonge,Katente,Igulwa,Bulangwa,Ushirombo,Uyovu,Bugelenga,Lyambamgongo,Katome, na Ng’anzo, ina vijiji hamsini na mbili (52),  na vitongoji mia tatu sabini na mbili (372).  Pia wilaya ina jimbo moja la uchaguzi ambulo Mbunge wake ni kutoka chama cha Mapinduzi (CCM) mhe.Dotto Biteko ambaye ni Naibu Waziri wa Madini. Ina jumla ya wakazi 266,667 ya makadirio ya sasa kutokana na ongezeko la 5.9 asilimia ya sensa ya mwaka 2012, ambapo kwa sasa wanawake  135,018 na wanaume 131,659. Wilaya ya Bukombe imezungukwa na msitu kwa asilimia 60 huku asilimia 40 ya eneo lote la wilaya linafaa kwa Kilimo na Ufugaji na makazi. Asilimia 60 ya Eeneo la Bukombe ni Misitu huku asilimia 40 tu ikiwa ni makazi ya watu.

Shughuli za uchumi katika wilaya hii ni Kilimo na ufugaji ambazo zinachukua 84 asilimia ya Mapato ya wakazi wote wa wilaya na asilimia 16 inahusisha shughuli za uchimbaji wa madini,biashara,ufugaji nyuki na wafanyakazi.


KARIBU WILAYA YA BUKOMBE UJIFUNZE UFUGAJI WA NG'OMBE,NYUKI NA AINA MBALIMBALI ZA KILIMO CHA BIASHARA.


Matangazo

  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba December 02, 2022
  • Ufafanuzi wa Habari iliyochapishwa kwenye tovuti ya Mwananchi Communication ltd October 13, 2021
  • Tushirikiane kuzuia Polio kwa kumpleka Mtoto kupata chanjo ya matone. May 07, 2022
  • Tangazo la Kazi October 13, 2021
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Dkt. Mkenda Ahaidi Kujenga VETA Wilaya ya Bukombe

    October 09, 2022
  • Uzinduzi wa Dirisha la Maombi ya Samia Scholarship

    September 27, 2022
  • Walimu Ajira Mpya Wapata Semina Elekezi

    September 27, 2022
  • TFS Yakabidhi Madawati 100

    September 26, 2022
  • Tazama zote

Video

Mweka Hazina na Wahasibu watakiwa kutimiza wajibu wao
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mfumo wa Bajeti(Planrep)
  • Mfumo wa Fedha Vituo vya kutoa huduma(FFARS)
  • MTUHA
  • Maktaba ya Picha
  • Ramani ya Bukombe
  • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara

Tovuti Muhimu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Ushirombo

    Sanduku la Posta: S.L.P 02

    Simu ya Mezani: 028 2520704

    Simu ya mkononi: +255 (0) 622 295619

    Barua Pepe: ded@bukombedc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • M.M.M
    • Mpangilo wa Tovuti
    • Service

Hatimiliki(c) 2017 Halmashauri ya Bukombe. Haki zote zimehifadhiwa