• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • M.M.M |
    • Barua pepe |
BUKOMBE DISTRICT COUNCIL
BUKOMBE DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bukombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Utawala na Utumishi
      • Idara ya Fedha na Biashara
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Maji
      • Idara ya Kilimo na Umwagiliaji
      • Idara ya Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Idara ya Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
      • Idara ya Ardhi na Maliasili
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi na Zimamoto
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Nyuki
      • Kitengo cha Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo cha TEHAMA
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Mifugo na Uvuvi
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu,Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba
      • Ratiba ya Kuonana na Mhe. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Dkt. Mkenda Ahaidi Kujenga VETA Wilaya ya Bukombe

Imewekwa: October 9th, 2022

Imeelezwa kuwa, Serikali imepanga kufanya mageuzi makubwa katika utoaji wa elimu bora hususan katika elimu ya ujuzi wa vitendo katika Sekta ya Elimu nchini.

Hayo yamesemwa na Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda wakati wa Sherehe ya Siku ya Mwalimu Duniani iliyoandaliwa na Chama cha Walimu wa wilaya ya Bukombe Mkoani Geita.

Amesema, walimu wanaandaliwa vizuri katika kuboresha miundombinu ya elimu nchini na kutoa mfano kwa  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kujenga madarasa zaidi ya 600 katika mkoa wa Geita na kuboresha mazingira ya kazi kwa walimu ili kuweka mazingira mazuri ya ufundishaji.

Vile vile, Serikali itaweka mkakati mzuri wa elimu ili kusaidia walimu nchini kuweza kujiendeleza pamoja na kuongeza ujuzi. Ameongeza ndoto ya Serikali ni kuona mwalim anajiendeleza ili aweze kuwa mwalimu bora.

"Mwalimu akiomba ruhusa ya kwenda kusoma mpe ruhusa, mwalimu ni ufunguo wa maisha katika maendeleo ya nchi yetu, mafunzo kazini yataendelea, Serikali ya awamu ya sita imetenga bajeti kwa ajili ya kuwaendeleza walimu," amesema Dkt. Mkenda.

Aidha, Dkt. Mkenda amemhakikishia Dkt. Biteko kuwa, mwaka 2023 katika kusheherekea Siku ya Mwalimu Duniani Serikali itahakikisha siku hiyo inasheherekewa Kitaifa katika wilaya ya Bukombe ili walimu wakutane kwa pamoja.

Kwa upande wake, Mbunge wa Jimbo la Bukombe na Waziri na Waziri wa Madini Dkt. Doto Biteko amesema mwalimu ni msingi wa elimu na Serikali inautambua mchango wa wao katika utoaji wa elimu.

Pia, amewataka walimu waendelee kushirikiana katika shughuli zao za kila siku, wakipendana, kuthaminiana na kusaidiana wao kwa wao ili kujenga umoja.

Naye, Mkuu wa Mkoa wa Geita Martin Shigela amempongeza mbunge wa Jimbo la Bukombe Dkt. Biteko kwa kuandaa Siku ya Mwalimu Duniani kwa kuadhimishwa katika wilaya ya Bukombe.

Shigela amesema, atahakikisha mwaka 2023 tukio hilo linakuwa kubwa na kuadhimishwa katika Halmashauri nyingine za Mkoa wa Geita ili kusheherekea kwa pamoja.

Siku ya Mwalimu Duniani imeandaliwa na Chama cha Walimu wa wilaya ya Bukombe na imehudhuriwa na viongozi mbalimbali wa Serikali.




Matangazo

  • Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba December 02, 2022
  • Ufafanuzi wa Habari iliyochapishwa kwenye tovuti ya Mwananchi Communication ltd October 13, 2021
  • Tushirikiane kuzuia Polio kwa kumpleka Mtoto kupata chanjo ya matone. May 07, 2022
  • Tangazo la Kazi October 13, 2021
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Dkt. Mkenda Ahaidi Kujenga VETA Wilaya ya Bukombe

    October 09, 2022
  • Uzinduzi wa Dirisha la Maombi ya Samia Scholarship

    September 27, 2022
  • Walimu Ajira Mpya Wapata Semina Elekezi

    September 27, 2022
  • TFS Yakabidhi Madawati 100

    September 26, 2022
  • Tazama zote

Video

Mweka Hazina na Wahasibu watakiwa kutimiza wajibu wao
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mfumo wa Bajeti(Planrep)
  • Mfumo wa Fedha Vituo vya kutoa huduma(FFARS)
  • MTUHA
  • Maktaba ya Picha
  • Ramani ya Bukombe
  • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara

Tovuti Muhimu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Ushirombo

    Sanduku la Posta: S.L.P 02

    Simu ya Mezani: 028 2520704

    Simu ya mkononi: +255 (0) 622 295619

    Barua Pepe: ded@bukombedc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • M.M.M
    • Mpangilo wa Tovuti
    • Service

Hatimiliki(c) 2017 Halmashauri ya Bukombe. Haki zote zimehifadhiwa