• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • M.M.M |
    • Barua pepe |
BUKOMBE DISTRICT COUNCIL
BUKOMBE DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bukombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Utawala na Utumishi
      • Idara ya Fedha na Biashara
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Maji
      • Idara ya Kilimo na Umwagiliaji
      • Idara ya Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Idara ya Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
      • Idara ya Ardhi na Maliasili
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi na Zimamoto
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Nyuki
      • Kitengo cha Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo cha TEHAMA
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Mifugo na Uvuvi
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu,Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba
      • Ratiba ya Kuonana na Mhe. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

TENGENI FEDHA ZA UKARABATI WA OFISI-DC MURAGILI

Imewekwa: August 23rd, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Bukombe Mhe. Mhandisi Paskasi Muragili ametoa wito kwa Wakuu wa Taasisi za Serikali Wilaya ya Bukombe kuhakikisha wanatenga fedha za ukarabati wa Majengo ya Serikali ili kuyaongezea uhai.

“ Tuyathamini na kuyalinda Majengo ya Serikali kwa kuyakarabati ili yadumu kwa muda mrefu”.

Wito huo ameutoa tarehe 22 Agosti, 2024 wakati wa Ufunguzi wa Jengo lililokarabatiwa la Wakala wa Majisafi na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) kwa fedha zilizotoka Serikali Kuu, kiasi cha Shilingi 17,950,000/=.

Aidha Muragili aliendelea kusema kuwa uwepo wa Majengo Mazuri kwa Watumishi wa Umma ni sehemu ya motisha kwa watumishi wetu kwani watapata nafasi ya kufanya kazi katika mazingira yaliyo salama , yenye hadhi na yanayovutia. Hali hii itatupa msukumo wa kuongeza ufanisi wetu na kutoa huduma bora kwa wananchi wa Bukombe.

Akiongea wakati wa Ufunguzi huo Meneja wa RUWASA Wilaya ya Bukombe Mhandisi James Benny amesema Ukarabati huo umehusisha Uwekaji wa madirisha ya kisasa ya grill na aluminium badala ya yale ya zamani, Ukarabati wa Milango, Ukarabati wa vyoo vilivyokuwa havitumiki na sasa viko katika hali bora kabisa , Kuboresha mifumo ya maji na umeme ili kuhakikisha huduma hizi zinapatikana kwa uhakika, Upakaji upya wa rangi na Ujenzi wa stoo ya vifaa.

Hafla hiyo ilihudhuriwa na Kamati ya Ulinzi ua Wilaya, Wakuu wa Idara na Vitengo wa Halmashauri, Wakuu wa Taasisi mbalimbali za Umma pamoja na watumishi wengine.

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WASIMAMIZI WA VITUO, WASIMAMIZI WASAIDIZI NA MAKARANI WALIOCHAGULIWA KUSHIRIKI UCHAGUZI MKUU 2025 October 21, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 23, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO YA 10% October 07, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA VIJIJI NA VITONGOJI September 16, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • BUKOMBE YAPOKEA DOZI 250,000 ZA UGONJWA WA HOMA YA MAPAFU KWA NG'OMBE.

    September 30, 2025
  • MSIMAMIZI WA UCHAGUZI JIMBO LA BUKOMBE AKUTANA NA WAWAKILISHI WA VYAMA VYA SIASA.

    August 26, 2025
  • DKT. BITEKO AZINDUA MRADI UTAKAOWAKWAMUA VIJANA KIUCHUMI KATIKA MAENEO YANAYOPITIWA NA BOMBA LA MAFUTA GHAFI (EACOP).

    August 18, 2025
  • MRADI WA UJENZI WA JENGO LA UTAWALA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUKOMBE UKAMILIKE KWA WAKATI - DC MURAGILI.

    August 14, 2025
  • Tazama zote

Video

UMISSETA BUKOMBE WAAHIDI KURUDI NA USHINDI
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mfumo wa Bajeti(Planrep)
  • Mfumo wa Fedha Vituo vya kutoa huduma(FFARS)
  • MTUHA
  • Maktaba ya Picha
  • Ramani ya Bukombe
  • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara

Tovuti Muhimu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Ushirombo

    Sanduku la Posta: S.L.P 02

    Simu ya Mezani: 028 2520704

    Simu ya mkononi: +255 (0) 622 295619

    Barua Pepe: ded@bukombedc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • M.M.M
    • Mpangilo wa Tovuti
    • Service

Hatimiliki(c) 2017 Halmashauri ya Bukombe. Haki zote zimehifadhiwa

  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Toto Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Toto Togel
  • Situs Slot Gacor
  • Toto Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Toto
  • Situs Slot Gacor
  • Situs Toto
  • KOI200
  • Slot Gacor
  • SILVAWIN
  • YAMITOTO
  • Slot Gacor
  • Situs Toto Slot
  • KOI200
  • KOI200
  • KOI200