• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • M.M.M |
    • Barua pepe |
BUKOMBE DISTRICT COUNCIL
BUKOMBE DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bukombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Utawala na Utumishi
      • Idara ya Fedha na Biashara
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Maji
      • Idara ya Kilimo na Umwagiliaji
      • Idara ya Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Idara ya Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
      • Idara ya Ardhi na Maliasili
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi na Zimamoto
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Nyuki
      • Kitengo cha Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo cha TEHAMA
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Mifugo na Uvuvi
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu,Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba
      • Ratiba ya Kuonana na Mhe. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Mikataba ya shilingi milioni 903.6 yasainiwa.

Imewekwa: November 11th, 2021

Halmashauri ya Wilaya ya Bukombe tarehe 10 Novemba, 2021 imesaini mikataba ya shilingi Milioni 903,680,002/=, Shilingi Milioni 699,680,000/= mkataba kwa ajili ya kuweka Taa za barabarani katika Mji wa Ushirombo kutoka Kampuni ya EH Engineering Company Limited na shilingi Milioni 204,000,000/= Mkataba wa Mashine ya kuchakata mazao ya Nyuki kununua, kusimika na kutoa mafunzo kwa watumiaji kutoka kampuni Central Park Bees Limited.

Aidha Mkuu wa Wilaya ya Bukombe Mhe.Said Nkumba amewataka wazabuni hao kutimiza wajibu wao ili miradi hiyo iweze kukamika katika muda uliopangwa.

"Timizeni wajibu wenu ili muweze kukamilisha miradi yenu kwa wakati na sisi Bukombe tupo tayari kuwapa ushirikiano."Nkumba ameyasema hayo wakati wa hafla ya utiaji saini mikataba hiyo.

"Nimefurahishwa sana kuona mikataba hii imekuwa ya uwazi kwa kila mtu. Sisi Wahe. Madiwani tumepata cha kujivunia na tutaendelea kushirikiana na halmashauri katika kutekeleza miradi ya Bukombe.’’

Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa Halmashauri Mhe.Yusuph Mohamed Yusuph. Diwani wa kata ya Bulangwa.

Akiongea katika hafla hiyo Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Bukombe Lutengano Mwalwiba ameishukuru Serikali kwa kuipatia halmashauri fedha kwa ajili ya utekelezaji wa miradi hiyo.

‘’Naishukuru sana serikali kwa kutupatia fedha kwa ajili ya utekelezaji wa miradi hii. Nawapongeza wote walioshiriki na kufanikisha kwani kuna maeneo mengi yamekosa fedha hizi.Hili ni jambo kubwa sana limetokea katika halmashauri yetu.’’

Acram Issa Ulungu Mtendaji Mkuu kutoka kampuni ya Central Park Bees Limited ameahidi kufanya kazi yenye ubora na kuhakikisha inakamilika katika muda uliopangwa.

 "Tunaahidi kufanya kazi yenye ubora na kuhakikisha inakamilika kwa wakati. Tutahakikisha kuwa tunaipendezesha Bukombe.



Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMIA 10 February 10, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 23, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO YA 10% October 07, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA VIJIJI NA VITONGOJI September 16, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • DC MURAGILI AONGOZA KIKAO CHA TATHMINI YA UTEKELEZAJI WA MKATABA WA LISHE ROBO YA TATU (Januari-Machi 2024/2025)

    May 08, 2025
  • WANANCHI WAJITOKEZA KUBORESHA TAARIFA KWENYE DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA

    May 05, 2025
  • DC MURAGILI AHAKIKI TAARIFA ZAKE KWENYE DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA

    May 05, 2025
  • MAADHIMISHO YA MEI MOSI MKOA WA GEITA.

    May 02, 2025
  • Tazama zote

Video

Mkutano wa baraza la madiwani kwa kipindi cha robo ya 3 kwa mwaka 2024/2025
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mfumo wa Bajeti(Planrep)
  • Mfumo wa Fedha Vituo vya kutoa huduma(FFARS)
  • MTUHA
  • Maktaba ya Picha
  • Ramani ya Bukombe
  • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara

Tovuti Muhimu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Ushirombo

    Sanduku la Posta: S.L.P 02

    Simu ya Mezani: 028 2520704

    Simu ya mkononi: +255 (0) 622 295619

    Barua Pepe: ded@bukombedc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • M.M.M
    • Mpangilo wa Tovuti
    • Service

Hatimiliki(c) 2017 Halmashauri ya Bukombe. Haki zote zimehifadhiwa