• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • M.M.M |
    • Barua pepe |
BUKOMBE DISTRICT COUNCIL
BUKOMBE DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bukombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Utawala na Utumishi
      • Idara ya Fedha na Biashara
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Maji
      • Idara ya Kilimo na Umwagiliaji
      • Idara ya Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Idara ya Mazingira na Udhibiti Taka Ngumu
      • Idara ya Ardhi na Maliasili
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Ujenzi na Zimamoto
    • Vitengo
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Nyuki
      • Kitengo cha Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo cha TEHAMA
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Mifugo na Uvuvi
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu,Afya na Maji
      • Kamati ya Uchumi,Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba
      • Ratiba ya Kuonana na Mhe. Mwenyekiti
      • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Waziri Biteko awatataka Wachimbaji wa Madini kutumia Viwanda vya Ndani Kusafisha Dhahabu

Imewekwa: July 7th, 2022

Serikali imewataka wachimbaji wote wa madini na wafanyabiashara nchini kusafisha dhahabu katika viwanda vya ndani badala ya kuuza malighafi kwenye viwanda vya nje.

Rai, hiyo imetolewa leo Julai 7, 2022 mkoani Geita na Waziri wa Madini, Dkt. Doto Biteko wakati akishuhudia shughuli ya usafishaji wa dhahabu katika kiwanda Geita Gold Refinery (GGR).

Amesema, kwa sasa atakaekwenda kuuza dhahabu ghafi katika viwanda vya kusafisha dhahabu atalipa mrabaha asilimia 4 badala ya asilimia 6 ili wachimbaji wapate nafasi ya kusafisha katika viwanda hivyo.

"Ni muhimu sasa dhahabu tunayoichimba wenyewe iweze kusafishwa hapa iende ikiwa bidhaa ya mwisho,"amesisitiza.

Aidha, Dkt.Biteko amesema, kiwanda cha GGR kitatengeneza ajira kwa Watanzania pamoja na kulipa kodi mbalimbali Serikalini.

Katika hatua nyingine, Dkt.Biteko ameupongeza mkoa wa Geita kwa usimamizi wa sekta ya Madini. Amesema, mkoa unasimamia vizuri fedha zinazotolewa katika huduma za kijamii ambayo imesaidia kutekeleza miradi mbalimbali ya mkoa kupitia Sekta ya Madini.

Mkurugenzi Mtendaji wa GGR Sarah Masasi amesema, kiwanda hicho kina uwezo wa kusafisha dhahabu kilo 600 kwa siku. Amesema kiwanda kina wafanyakazi wenye uwezo wa hali ya juu ili kufanya kazi katika ubora wa kimataifa.

Naye Kaimu Mkuu wa Mkoa Geita, Said Nkumba amesema, kiwanda hicho kinakwenda kutangaza mkoa katika Sekta ya Madini. Amesema, wafanyabiashara wa madini na wachimbaji wadogo watumie nafasi hiyo kupeleka madini yao kusafishwa katika kiwanda cha GGR ili manufaa yaweze kubaki katika mkoa wa Geita na nchini kwa ujumla.

Kwa upande mwingine, Mbunge wa Jimbo la Geita, Constantine Kanyasu amempongeza Mama Masasi kwa kujenga kiwanda hicho katika mkoa huo.

Amesema, kiwanda hicho ni mkombozi wa wachimbaji na wafanyabiashara wa madini nchini ili waweze kusafisha dhahabu katika ubora wa kimataifa.

Kiwanda cha Geita kinamilikiwa na mwanamke mtanzania Sarah Masasi ambaye ni mwanamke wa kwanza Tanzania kujenga kiwanda cha kusafisha dhahabu nchini.


Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO YA ASILIMIA 10 February 10, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 23, 2024
  • TANGAZO LA MIKOPO YA 10% October 07, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA VIJIJI NA VITONGOJI September 16, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • WANANCHI WAJITOKEZA KUBORESHA TAARIFA KWENYE DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA

    May 05, 2025
  • DC MURAGILI AHAKIKI TAARIFA ZAKE KWENYE DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA

    May 05, 2025
  • MAADHIMISHO YA MEI MOSI MKOA WA GEITA.

    May 02, 2025
  • MAAFISA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI WAPATIWA MAFUNZO

    April 29, 2025
  • Tazama zote

Video

WANAWAKE BUKOMBE WASHIRIKI UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI YA AMALI DOTO BITEKO.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Mfumo wa Bajeti(Planrep)
  • Mfumo wa Fedha Vituo vya kutoa huduma(FFARS)
  • MTUHA
  • Maktaba ya Picha
  • Ramani ya Bukombe
  • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara

Tovuti Muhimu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Ushirombo

    Sanduku la Posta: S.L.P 02

    Simu ya Mezani: 028 2520704

    Simu ya mkononi: +255 (0) 622 295619

    Barua Pepe: ded@bukombedc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • M.M.M
    • Mpangilo wa Tovuti
    • Service

Hatimiliki(c) 2017 Halmashauri ya Bukombe. Haki zote zimehifadhiwa